.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Agosti 2013

UHURU AWAPONGEZA VIONGOZI WA EAC


                                                              Rais Uhuru Kenyatta

Rais Uhuru Kenyatta amewashukuru wakuu wa nchi za Afrika Mashariki kwa kujitolea kuwasaidia wakenya wakati wa tukio la kuungua moto uwanja wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta hapo jana.

Uhuru amesema marais wenzake wa Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi ni miongoni mwa viongozi wa kwanza kumtumia ujumbe wa kuwatia moyo wakenya baada ya sehemu ya uwanja huo kuteketea kwa moto.

Rais Uhuru amesema hali hiyo imemridhisha na kuonyesha kuwa ni kwa jinsi gani viongozi wa nchi hizo walivyojidhatiti katika kuimarisha mahusiano na ushirikiano wa karibu miongoni mwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni