.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Agosti 2013

URAMBO WAPATA HATI SAFI - WAZINDUA MPANGO WA MAENDELEO

Halmashauri ya wilaya Urambo mkoani Tabora imeendelea kupata hati safi ya matumizi ya fedha za serikali baada ya kukaguliwa na mkaguzi na mdhibiti wa fedha za serikali (CAG) ambapo imefanya mgawanyo wa baraza la madiwani wake na kuwa na halimashauri mbili za Kaliua na Urambo


Katika baraza hilo Mkuu wa wilaya ya Urambo Bibi Anna Magowa amezindua rasmi, mpango mkakati wa kimaendeleo ya jamii katika halmashauri hizo mbili.

Akifunga rasmi kikao cha mwisho cha baraza hilo, Mkuu wa wilaya Kaliua Bw Savel Mwangasame Maketa, amewataka watendaji kuondokana na misuguano isiyo na tija, kwa lengo la kuleta maendeleo ya jamii.


Mkuu wa wilaya ya Urambo Bibi Anna Magowa akizindua kitabu cha mkakati wa maendeleo

Mkuu wa wilaya ya Urambo Bibi Anna Magowa akionesha kitabu 
cha mkakati wa maendeleo baada ya kukizindua.

Wajumbe wa baraza la madiwani, na watendaji wa halmashauri Kaliua na Urambo

Wajumbe wa baraza la madiwani, na watendaji wa halmashauri Kaliua na Urambo


Mkuu wa wilaya Kaliua Bw Savel Mwangasame Maketa akifungua kikao hicho.

Mkuu wa wilaya Kaliua Bw Savel Mwangasame Maketa na
Mkuu wa wilaya ya Urambo Bibi Anna Magowa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni