.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Agosti 2013

WATU WATATU WAMEKAMATWA KWA KUUA TWIGA

Mabaki ya nyara ya Taifa ya Twiga aliyeuwawa na watu watatu wakazi wa kijiji cha Kodelo wilayani Kondoa mkoani Dodoma wakituhumiwa kuomba kibali cha uwindaji wa ndege aina ya kanga na mbuni swala palapa dume katika hifadhi ya Taifa ya Tarangire  wilayani Babati na na badala yake wamekuwa wakitumia vibali hivyo kubadili matumizi kwa kuwinda wanyama wasioruhusiwa kisheria, mbaki ya Twiga hao yalikamatwa kwenye kijiji cha Olkeshbuk wilayani Simanjiro kabla ya kufikishwa katika kituo cha polisi cha mkoa wa Manayara.

Hiyo ndio mitutu iliyokamatwa kwa kuua nyara hiyo ya taifa na watuhumiwa wote watatu wamefikishwa leo Agosti 7 kwenye mahakama ya hakimu mkazi mfawidhi ya mkoa wa Manyara.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni