.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 16 Desemba 2013

BAADA KIPIGO CHA MABAO 5 - 0, VILLAS-BOAS ATUPIWA VIRAGO TOTTENHAM

                              Aliyekuwa kocha wa Tottenham Villas-Boas
Timu ya Tottenham imemtimua kocha wake Mreno Villas-Boas baada ya kufungwa mabao 5 - 0 na timu ya Liverpool hapo jana katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza inayoendelea.

Hii ni mara ya pili kwa kocha huyo kutupiwa virago, mara ya kwanza alitimuliwa Chelsea

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni