.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 17 Desemba 2013

MH.MAKALLA AFUNGUA KONGAMANO LA VIONGOZI WA MICHEZO WANAWAKE BARANI AFRIKA

IMG_3503 
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Amos Makalla akifungua Kongamano la Viongozi wa Michezo Wanawake lililofanyika  leo Jijini Dar es Salaam.
IMG_3510 
Washiriki kutoka nchi mbalimbali wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zilizotolewa katika kongamano hilo leo Jijini Dar es Salaam.
IMG_3556 
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Amos Makalla (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake Twiga Stars. 

Wa kwanza kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, anayefuata kushoto ni Mkuu wa Mfuko wa Anita Foundation Dr. Anita White, kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Bw. Leonard Thadeo, na anayefuata kulia ni Mkurugenzi wa Sera, Shirika la Right to Play Afrika Bw.Denis Bright, waliosimama nyuma ni wachezaji wa Twiga Stars ambao pia wameshiriki katika Kongamano la Viongozi wa Michezo Wanawake lililofanyika leo Jijini Dar es Salaam

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni