.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 18 Desemba 2013

NEYMAR AZIDI KUTAKATA WAKATI BARCELONA IKISHINDA

Neymar amefunga bao lake la sita ndani ya siku saba na kuisaidia Barcelona kusonga mbele katika kombe la Copa del Rey kwa ushindi wa mbao 3-1 dhidi ya Cartagena hapo jana.

Barcelona imefanikiwa kusonga mbele kwa jumla ya mbao 7-1, baada ya katika mchezo wao wa awali kuibuka na ushindi wa mbao 4-0 dhidi ya klabu hiyo ya ligi ya daraja la tatu.

                              Pedro alifunga goli la kwanza katika mchezo huo.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni