.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 17 Desemba 2013

SULLEY MUNTARI AIPOKONYA USHINDI ROMA KATIKA LIGI KUU YA ITALIA

Sulley Muntari amefunga bao la kuisawazisha la AC Milan katika kipindi cha pili wakati Roma ikipoteza kuongoza mara mbili katika dimba la San Siro na kupoteza poindi mbili katika mchezo ulioishia kwa mabao 2-2 wa Ligi Kuu ya Italia.

Katika mchezo huo Roma iliongoza kwa kufunga bao la kwanza kupitia Kevin Strootman kupitia pande la Mattia Destro, kabla ya AC Milan kuzawazisha kupitia Christian Zapata. Wageni Roma waliongeza bao la pili kwa penati lakini Muntari akasawazisha.



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni