.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 12 Desemba 2013

TUTAKUKUMBUKA DAIMA NELSON MANDELA " MADIBA "

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ( kulia ) akipeana mkono na msuluhishi wa mgogoro wa Burundi Mzee Nelson Mandela ( kushoto ) huku wakishuhudiwa na Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa mjini Arusha. Hiyo ilikuwa mwezi wa tatu mwaka 2000.

Nelson Mandela alifariki alhamisi iliyopita na anatarajiwa kuzikwa jumapili ya tarehe 15/12/2013 kijini kwake Qunu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni