Umoja wa Mataifa
umesema zaidi ya watu 1200, wameuwawa katika mapigano yanayohusiana
na wapiganaji wa kundi la waislamu Kaskazini Mashariki mwa Nigeria
tangu kutangazwa kwa hali ya hatari mwezi Mei.
Umoja wa Mataifa
umesema idadi hiyo inahusisha vifo vya raia pamoja na wanajeshi
vilivyofanywa na wapiganaji wa kundi la Boko Haram katika majimbo ya
Adamawa, Borno na Yobe.
Takwimu hizo pia
zinahusisha wapiganaji hao waliouwawa na vikosi vya usalama vya
serikali ya Nigeria katika mapambano.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni