.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 30 Januari 2014

ASTON VILLA YAICHAPA WEST BROM 4-3

 Christian Benteke akiiifunga Aston Villa bao kwa mkwaju wa penati katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza uliochezwa usiku wa kuamkia leo, uliomalizika kwa Villa kuichapa West Bromwich Albion mabao 4-3. Kwa matokeo hayo Aston Villa ipo nafasi ya kumi na pointi 27, huku West Brom wakiwa nafasi ya kumi na tano na pointi 22
Ngoja niwaonyeshe uwezo wangu. Benteke akiruka hewani

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni