.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 30 Januari 2014

MANCHESTER CITY MOTO WA KUOTEA MBALI, YAICHAPA TOTTENHAM 5-1 NA KUKAA KILELENI

 Mchezaji wa Man City Eden Dzeko akianguka baada ya kuchezewa rafu na mchezaji wa Tottenham Danny Rose
Mwamuzi wa pambano hilo akimzawadia kadi nyekundu Danny Rose baada ya kumchezea rafu Eden Dzeko katika mchezo wa jana usiku wa ligi kuu ya Uingereza, pambano ambalo lilimalizika kwa Manchester City kuichapa bila huruma Tottenham mabao 5-1. Kwa matokeo hayo Man City imefikisha point 53 na kuongoza ligi ikifuatiwa na Arsenal yenye pointi 52

CHELSEA YABANWA.......... 
Kocha Jose Mourinho wa Chelsea amejikuta akipagawa baada ya kutoridhika na maamuzi ya refa wakati timu yake ikilazimishwa sare ya 0-0 na West Ham hapo jana.

Hayaaa!!! Jose kocha wa Chelsea akilalamika

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni