.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Januari 2014

BUNGE UKRAINE LAFUTA SHERIA YA KUPINGA MAANDAMANO

Bunge la Ukraine limepiga kura na kuifutilia mbali sheria iliyokuwa na utata ya kuzuia maandamano, sheria ambayo imeleta wimbi kubwa la machafuko nchini humo.
 Kura hiyo imepigwa huku Waziri Mkuu wa Ukraine, Mykola Azarov ( pichani juu ) akitangaza kujiuzulu wadhifa wake huo katika jitahada za kujaribu kumaliza maandamano yaliyoikumba miji mbalimbali ya nchi hiyo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni