Uzinduzi huo wa aina yake utakuwa wa mwaliko pekee ni watu wachache watakaochaguliwa kuhudhuria sherehe hiyo.
Danny ambaye hivi karibuni amerejea nchini toka nchini Afrika ya kusini alipoenda kwa ajili ya shuguli za kizazi amesema lengo la kampuni hiyo ni kukuza na kuendeleza vipaji vya vijana wengi nchini katika lengo la kuboresha maisha yao.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni