.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 26 Februari 2014

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI NGURUWE BILA KIBALI


Serikali ya Tanzania imepiga marufuku usafirishaji wa nguruwe nchi nzima bila ya kupata kibali maalum kufuatia kuibuka kwa ugonjwa wa homa ya nguruwe.

Agizo hilo limetolewa leo Songea na Waziri wa Kilimo na Maendeleo ya Uvuvi Dk. Titus Kamani, ikiwa ni siku moja tu tangu kuripotiwa mlipuko wa ugonjwa wa homa ya nguruwe Mkoani Mbeya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni