Uchunguzi umeonyesha kuwa, kunywa pombe kupita kiasi kunaweza kusababisha kifo kwa mnywaji kutokana na kuleta madhara kiafya. Uchunguzi huo umeonyesha walio katika hatari zaidi ni wale wanaokunywa pombe kila siku ( siku 7 katika juma )
Mwanadada huyu akiwa amelala barabarani baada ya kuzidiwa na kilevi


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni