Mjumbe wa Urusi katika Umoja wa Mataifa
amesema rais wa Ukraine aliyeondolewa madarakani Viktor Yanukovych
aliiomba Urusi kupeleka wanajeshi wake katika nchi hiyo.
Mjumbe huyo Vitaly Churkin ameliambia
baraza la usalama la umoja wa mataifa kuwa Yanukovych alimuandikia
Rais Vladimr Putin kumuomba apelekea wanajeshi kumsaidia.
Madai hayo ya Urusi yamepuuziwa na
wajumbe wa baraza hilo wa nchi za Magharibi na kuyaita kuwa yasiyo na
msingi.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni