Ukraine imeagiza kujikusanya kwa jeshi
la nchi hiyo katika kujibu mapigo hatua ya Urusi kukusanya vikosi
vyake katika jimbo Crimea.
Kaimu rais wa Ukraine Olexander
Turchynov ameagiza kufungwa safari za anga kwa ndege zote za kijeshi.
Rais Barck Obama wa Marekani amEkiita
kitendo cha vikosi vya Urusi kuwepo kwenye ardhi ya nchi hiyo kuwa ni
uvamizi wa taifa lingine.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni