.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Aprili 2014

BERLUSCONI AHUKUMIWA KUFANYA KAZI YA KUJITOLEA KUHUDUMIA WAZEE

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Italia Silvio Berlusconi ameagizwa na mahakama moja ya Milan kujitolea kufanya kazi za jamii katika nyumba ya kulelea wazee.

Hukumu hiyo inafuatia kutiwa hatiani mwaka jana kwa kosa la kukwepa kulipa kodi katika ununuzi wa haki za TV kupitia kampuni yake ya Mediaset mwaka 1990.

Wanasheria wa Berlusconi wamesema wameridhishwa na hukumu hiyo kutoa fursa kwa mteja wao kuendelea kujishughulisha na shughuli za kisiasa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni