.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Aprili 2014

OSCAR PISTORIUS AIAMBIA MAHAKAMA ALIVUNJIKA MOYO BAADA YA KUUONA MWILI WA MPENZI WAKE

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius leo ameiambia mahakama kuwa alivunjika moyo baada ya kuona mwili wa mpenzi wake Reeva Steenkamp aliyemuua kwa kumpiga risasi.

Kauli hiyo ya Pistorius ameitoa baada ya upande wa mashtaka kumaliza kumhoji kwa siku tano, mahojiano ambayo yalimfanya aangue kilio mara kwa mara.

Pistorius amekanusha shtaka la mauaji, ambapo amekuwa anasisitiza kuwa alidhania kuwa kunamtu kavamia nyumba yake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni