.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Aprili 2014

CHANA, RAIA WA INDIA MWENYE WAKE 39 NA WATOTO NA WAJUKUU 127

                            Zionnghaka Chana akiwa amesimama mbele ya wake zake 39. 

Raia wa India, Zionnghaka Chana ametokea kuwa maarufu hasa kwa wanasiasa nchini India katika mji wa Mizoram kutokana na kuwa na familia kubwa yenye wake 39 pamoja na watoto na wajukuu 127 ambao anaishi nao pamoja katika nyumba moja wote. 

Chana amejipatia umaarufu mkubwa hasa kwa wagombea ndani ya mji huo wa Mizoram wakati huu India ikiwa katika uchaguzi mkuu utakaochukua wiki tano kukamilika. caha anaishi katika kijiji cha Baktawng
     Chana ( kulia ) akiwa katika picha ya pamoja na watoto na wajukuu wake wapatao 127
Hii ndio nyumba ambayo familia hii ya Chana inaishi pamoja. Ghorofa hili lina jumla ya vyumba 100
Mmoja wa wake wa Bwana Chana akiandaa chakula kwa ajili ya familia yake

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni