Katika tukio hilo, watu 15 wameripotiwa kujeruhiwa na kukimbizwa hospitali kwa matibabu na hakuna vifo vilivyotokea.
Muhusika inasemekana pia kutega bomu lingine la kutengenezwa kienyeji katika bar nyingine, hata hivyo lilifanikiwa kugundulika kabla halijaleta madhara yeyote

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni