.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 14 Aprili 2014

ZIMEBAKI SIKU CHACHE KABLA YA HARUSI YA KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN

NI KAMA ANASEMA!! Baby wangu hivi kila kitu kipo sawa kabla ya harusi yetu. 

Mwanamuziki Kanye West akiwa anaongea jambo na mchumba wake Kim Kardashian wakati wakiwa wanakatiza mitaa katika jiji la Paris. 

Wawili hawa wanataraji kufunga ndoa jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 24 mwezi ujao, harusi ambayo inatarajiwa kuhudhuriwa na mastaa kibao, hivyo kuifanya kuwa gumzo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni