Waandamanaji wanaoiunga mkono Urusi kwa mara nyingine wamefanya maandamano makubwa na kufanikiwa kukalia majengo ya serikali kusini mwa Ukraine pamoja na kutolewa amri ya kuwataka watu wote wanaoishikila majengo ya serikali kuyaachia mara moja.
Waandamanaji wakiwa mitaani huku wakifanya uharibifu mkubwa
Askari wakiwa wameshika doria katika mitaa mjini Kiev, Ukraine kufuatia machafuko yanyoendelea nchini humo



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni