Pamoja na mvua sisi tupo kazini!! Dereva wa bodaboda akisubiria abiria
Daladala zinazofanya safari zake kati ya Kigamboni, Vijibweni, Mkuranga na Kimanzichana zikiwa zinasubiria abiria katika kituo cha Kigamboni. Leo ikiwa ni jumatatu ya Pasaka abiria wamekuwa ni wachache
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni