Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora, ACP Suzan Kaganda akiwaonyesha waandishi wa habari maganda ya risasi 2256 yaliyokuwa yametelekezwa eneo la tukio
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Suzan Kaganda akiwaonyesha waandishi wa habari pikipiki zilizokamatwa na jeshi hilo zilizokuwa zimeporwa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Suzan Kaganda akiwaonyesha waandishi wa habari bunduki aina ya Gobore aliyokamatwa nayo mtuhumiwa
Kamanda wa Polisi mkoa waTabora Kamishna Msaidizi wa Polisi Suzan
Kaganda leo tarehe 18/04/2014 amefanya mkutano na waandishi wa
habari, na kuzungumzia mambo mbalimbali hasa mafanikio
yaliyopatikana katika Operesheni zinazoendelea mkoani Tabora. Wahalifu wa
makosa mbalimbali wamekamatwa na watuhumiwa kufikishwa mahakamani.
Taarifa na D/C FAKIH ABDUL wa ofisi ya Kamanda Mkoa wa Tabora.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni