Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akiwaonesha waandishi wa habari hati halisi ya Muungano, Ikulu jijini Dar es Salaam leo jioni ( Picha na Freddy Maro )
Hati halisi ya Muungano
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue jana aliwaonesha waandishi wa habari hati halisi ya Muungano, wakati alipozungumza na wanahabari hao Ikulu jijini Dar es Saalam, ambapo alisema upotoshaji unaofanywa na baadhi ya wanasiasa ni hatari na hauna nia njema kwa Taifa.
Balozi Sefue alisema madai kwamba hakuna hati ya Muungano si sahihi, na kuwa kupitia mkutano huo ambao ulitangazwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha Star Tv, umma wa watanzania unatakiwa kukataa upotoshwaji huo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni