.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 13 Aprili 2014

MKE WA RAIS KENYATTA, MARGARET KENYATTA KUKIMBIA MBIO ZA MARATHONI JIJINI LONDONI

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya yupo Jijini London Uingereza kumuunga mkono mkewe Margaret Kenyatta wakati akiweka historia ya kushiriki mbio za marathoni zinazofanyika katika jiji hilo hii leo.

Ndege iliyombeba rais Kenyatta na watu walioambatana nae ilitua jana kwenye uwanja wa Heathrow na kulakiwa na maafisa wa Uingereza pamoja na balozi wa Kenya nchini humo, Ephraim Ngare.

Wanariadha wapatao elfu 35 watakimbia mbio hizo kupitia maeneo muhimu ya Jiji la Landon katika mbio hizo ambazo hii ni mara ya 34 kufanyika.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni