Lori la kubebea mafuta likiwa limetumbukia darajani baada ya kukatika kwa daraja hilo.
Taaarifa iliyotolewa mapema leo imethibitisha kuvunjika kwa madaraja mengi hasa yale madogo kutokana na mvua zinazonyesha sehemu mbalimbali nchini hivyo kufanya mawasiliano baina ya mkoa na mkoa kukatika
Nyumba hizi zikiwa zimefunikwa na maji yaliyojaa kutokana na mvua mtaa wa msimbazi Dar es Salaam


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni