Mshindi wa tuzo ya Nobel mwaka 1982 na mwandishi mahiri wa vitabu , Gabriel Garcia Marquez amefariki dunia nchini Mexico akiwa na umri wa miaka 87 jana alhamisi, na sababu za kifo chake bado hazijawekwa wazi.
Kufuatia kifo chake, Rais wa Marekani Barack Obama ametuma salaam za rambirambi huku akisema dunia imempoteza mmoja kati ya waandishi bora na mahiri wa vitabu.
Gabriel Garcia Marquez ( kulia ) akimsikiza kwa makini Fidel Castro, hapa ilikuwa mwaka 2000
Hapa akiwa na Bill Clinton mwaka 2007



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni