Timu ya soka ya Arsenal imefanikiwa kutinga fainali ya kombe la FA kwa mikwaju ya penati, baada ya kushuhudia dakika 90 za mchezo zinamalizika huku timu hiyo ikiwa imefungana bao 1-1 na Wigan mchezo uliochezwa jana.
Ndani dakika 90, mchezaji wa Wigani Gomez aliipatia bao hilo kunako dakika ya 63 kwa mkwaju wa peanti, kabla ya Arsenal kugangamala na kusawazisha dakika ya 82 kupitia kwa Mertesacker.
Katika upigaji wa peanti, Wigani walipata penati 2 wakati Arsenal walipata 4 na kufanikiwa kufika fainali ya kombe hilo la FA
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni