.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Aprili 2014

SERIKALI YA RWANDA YAMKAMATA MWANAMUZIKI NYOTA NA MWANDISHI

                                                      Mwanamuziki Kizito Mihigo

Mwanamuziki maarufu nchini Rwanda pamoja na mwandishi mmoja mwandamizi wa nchi hiyo wamekamatwa kwa tuhuma za kujihusisha na upinzani pamoja na waasi.

Mwandishi Cassien Ntamuhanga, ambaye ni Mkurugenzi wa Redio moja ya kikristo amekamatwa jana huku mwanamuziki Kizito Mihigo akikamatwa Ijumaa ya wiki iliyopita.
                               Waasi wa Kihutu wa Rwanda National Congress (RNC)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni