.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Aprili 2014

WATU 70 WATHIBITISHWA KUFA KATIKA MLIPUKO WA BOMU NCHINI NIGERIA

Zaidi ya watu 70 wamethibitishwa kufa kutokana na mlipuko wa bomu katika kituo cha mabasi kilichokuwa na watu wengi nje ya mji wa abuja nchini Nigeria.

Mlipuko huo umetokea jana asubuhi wakati abiria wakiwa wanapanda mabasi pamoja na taksi kwenye kituo hicho kwenda kazini kati kati ya Abuja.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni