.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Aprili 2014

VIONGOZI WA DINI KENYA VYATAKA VYOMBO VYA ULINZI KUHESHIMU UTU KATIKA OPERESHENI ZAKE

                                                                   John Kardinali Njue
 
Viongozi wa dini ya Kikristo nchini Kenya na jumuiya ya wafanyabiashara wa Eastleigh, Jijini Nairobi wameiomba serikali kutumia ubinadamu katika msako wake dhidi ya watuhumiwa wa ugaidi pamoja na wahamiaji haramu nchini.

Akiongea katika mkutano wao wa pamoja katika Kanisa la Watakatifu la Jijini Nairobi, John Kardinali Njue, amevipongeza vyombo vya ulinzi kwa jitihada za kukabiliana na uhalifu, na kutoa wito viheshimu utu na uhai katika operesheni zake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni