Lori la mizigo lililokuwa limesheheni mifuko ya cement likikatiza katika barabara ya Rose Garden mikocheni jijini Dare es Salaam.
Barabara hii hairuhusu magari yenye uzito mkubwa kupita. Tayari barabara hiyo imeanza kuharibika na kutengeneza mashimo, hali ambayo inatishia ajali kutoka na madereva kuyakwepa mashimo hayo, hivyo kutoka upande mmoja kwenda mwingine.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni