Zaidi ya wahamiaji haramu 100 kutoka
nchi ya Somalia na nchi nyingine wamekamatwa katika maeneo kadhaa ya
Mombasa usiku wa Jumamosi, wakati operesheni ya kukabiliana na
magaidi ikifika mkoa wa Pwani.
Jeshi la polisi Kenya limesema kuwa
wengi wao waliokamatwa eneo la Changamwe walikuwa wamewasili Mombasa
ili kujificha eneo hilo wakitokea Eastleigh, Nairobi ambako walikuwa
wamekimbia msako ulioendeshwa huko.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni