.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 12 Mei 2014

DUNIA YAUNGANA KUWATAKA BOKO HARAMU KUWAACHIA HURU ZAIDI YA WASICHANA 200 INAOWASHIKILIA MATEKA

 Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron akiwa na mtangazaji wa CNN, Christiane Amanpour kwa pamoja wakionyesha ujumbe unaosisitiza kuachiliwa huru kwa zaidi wasichana 200 wa Nigeria waliotekwa na kundi la Boko Haramu na kuendelea kushikiliwa mafichoni toka mwezi uliopita.
                            Malala Yousafzai                                                 Amy Poehler                        
                             Alex Chung                                                                 Leona Lewis
 Watangazaji Kevin Frazier na Thea Andrew wanaotangaza kipindi cha The Insider
Wanawake raia wa Nigeria nao wakishiriki kampeni ya kutaka wasichana hao waachiwe huru bila kudhuriwa na watekaji hao wa Boko Haram 


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni