.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 13 Mei 2014

FOLENI BARABARANI ASUBUHI YA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Msongamano mkubwa wa magari katika makutano ya barabara ya Shekilango na Ali Hassan Mwinyi asubuhi ya leo
 Hali ya hewa kuwa mbaya kutokana na mvua zinazonyesha maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam imekuwa chanzo cha foleni katika barabara nyingi za jiji kama inavyoonekana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni