Jumanne, 13 Mei 2014
MBU AENEZAE UGONJWA WA DENGUE
Muonekano wa mbu hatari aenezae ugonjwa wa Dengue. Mbu huyu anaelezewa kuambukiza ugonjwa wakati wa asubuhi na mchana. Hupenda kuzaliana katika maeneo yenye maji safi yaliyotuama. Tayari ugonjwa wa Dengue umeua watu kadhaa na wengine wengi wamelazwa hospitali kwa matibabu.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni