.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 12 Mei 2014

GAVANA WA JIMBO LA BORNO ASEMA ANAJUA WALIPO WASICHANA WALIOTEKWA

Gavana wa jimbo la Borno, Kashim Shettima amesema anazo taarifa za wapi wasichana zaidi wa 200 wailiotekwa na kundi la kigaidi la Boko Haramu walipo. 

Gavana huyo amesema baada ya kupata taarifa hizo, na yeye tayari ameziwasilisha kwa jeshi kwa ajili ya ufuatiliaji zaidi. 

Shettima amesema hana uhakika kama wasichana hao watakuwa wamevushwa mpaka na kupelekwa Chad au Cameroon.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni