.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 12 Mei 2014

HATUA ZA MWISHO MWISHO ZA BARABARA YA MWENGE - TEGETA

 Magari yakiwa katika foleni kubwa katika barabara ya Mwenge - Tegeta eneo la Makongo karibu na njia panda ya kuelekea Kawe. Foleni hii imesababishwa na kutumika kwa upande mmoja wa daraja linaloendelea kujengwa.
Kukamilika kwa barabara hii itakuwa ahueni kubwa kwa wakazi wa Mbezi Beach hadi Tegeta, kwani itapunguza foleni kwa kiwango kikubwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni