.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 14 Mei 2014

GOR MAHIA YAMTELEKEZA BEKI WAKE BAADA YA KUVUNJIKA MFUPA WA PUA

Beki wa kulia wa Gor Mahia Solomon Nasio anatafuta msaada wa matibabu ili kuweza kupatiwa tiba na kurejea tena dimbani, baada ya kuonekana kama timu yake imeamua kumtelekeza.

Nasio alivunjika mshipa wa pua mwaka jana katika mchezo ambao Gor ilishinda mabao 2-1 dhidi ya timu ya Karuturi huko Naivasha.

Mchezo wake wa mwisho na Gor Mahia ulikuwa ni Machi 30, mwaka huu ambapo Gor ilifungwa mabao 2-1, na Nasio alitolewa baada ya pua yake kuanza kutoa damu.

Na sasa beki huyo mwenye umri wa miaka 28, anahitaji msaada wa kiasi cha shilingi laki moja na nusu ya Kenya ili awezekufanyiwa upasuaji puani ili kutibiwa tatizo lake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni