.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 14 Mei 2014

MWANDISHI RAIA WA UFARANSA AUAWA JAMUHURI YA AFRIKA YA KATI

Mwandishi wa habari na mpiga picha raia wa Ufaransa, Camille Lepage ameuawa huko Jamuhuri ya Afrika ya Kati alikokuwa akifanya shughuli zake. 

Mwili wa mwandishi huyo uligunduliwa baada ya askari wa kikosi cha kulinda amani cha Ufaransa waliokuwa doria kulisimamisha gari lililokuwa linaendeshwa na wafuasi wa kundi la Anti Barraka katika mkoa wa Bouar. 

Mwandishi huyo amekuwa akifanya kazi zake Afrika ya Kati baada ya kuondoka Sudan Kusini July 2012

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni