Baada ya awali kusema yeye na mkewe hawatahudhuria harusi ya Kim Kardashian na Kanye West itakayofanyika jijini Paris, Ufaransa May 24' 2014, hatimaye mwanamuziki mahiri Jay Z na mkewe Beyonce watahudhuria katika harusi hiyo ambayo imekuwa gumzo kubwa.
Awali Jay Z na mkewe Beyonce walisema hawatahudhuria harusi hiyo kwasababu wasingependa kutokea katika kipindi cha Keeping Up With The Kardashians ambacho kinarushwa na channel E, ambacho kitarekodiwa siku hiyo ya harusi.
Katika taarifa iliyotolewa, imesema Jay Z katika harusi hiyo atasimama kama Best Man wa Kanye West.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni