.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Mei 2014

KOCHA WA HARAMBEE STARS AOTA KUTINGA AFCON 2015

Kocha wa Harambee Stars ya Kenya, Adel Amrouche anaamini kuwa Kenya itashiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2015.

Amrouche amesema Kenya inataka kucheza michuano hiyo na imejiandaa kwa kila kitu kuhakikisha kuwa inashiriki michuano hiyo mikubwa ya soka barani Afrika.

Kocha Amrouche ametoa kauli hiyo katika ujumbe wake kwa waandishi wa habari wakati akikinoa kikosi cha wachezaji 17 wa Harambee Stars katika uwanja wa mpira wa Safaricom.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni