Andy RoeserMsemaji wa LA Clippers
Rais wa timu ya kikapu ya
Los Angeles Clippers amechukua likizo ya muda mrefu wakati wasimamizi
wa ligi ya kikapu Marekani wakijiandaa kumtaka aiuze timu hiyo.
Msemaji wa Ligi ya Taifa
ya Kikapu Marekani (NBA) Andy Roeser amesema kuaondoka kwa mmiliki
huyo kutatoa fursa ya kupatikana kwa mtendaji mkuu mpya wa LA
Clippers, na kusafisha jina la timu hiyo.
Mmiliki huyo wa LA
Clippers, Donald Sterling amefungiwa kujihusisha na michezo maisha
baada ya kurekodiwa akitoa matamshi ya ubaguzi wa rangi dhidi ya
weusi.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni