.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Mei 2014

RAIS WA LA CLIPPERS AENDA LIKIZO YA MUDA MREFU KUTOKANA NA KASHFA

                                                   Andy RoeserMsemaji wa LA Clippers 

Rais wa timu ya kikapu ya Los Angeles Clippers amechukua likizo ya muda mrefu wakati wasimamizi wa ligi ya kikapu Marekani wakijiandaa kumtaka aiuze timu hiyo.

Msemaji wa Ligi ya Taifa ya Kikapu Marekani (NBA) Andy Roeser amesema kuaondoka kwa mmiliki huyo kutatoa fursa ya kupatikana kwa mtendaji mkuu mpya wa LA Clippers, na kusafisha jina la timu hiyo.

Mmiliki huyo wa LA Clippers, Donald Sterling amefungiwa kujihusisha na michezo maisha baada ya kurekodiwa akitoa matamshi ya ubaguzi wa rangi dhidi ya weusi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni