.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 13 Mei 2014

LEVERPOOL YAMTAKA LALLANA, NAYO CHELSEA KUMTWA DIEGO COSTA ?

Timu ya Liverpool imetangaza dau kwa kapteni wa Southampton, Adam Lallana.

Kiungo huyo amekuwa ni mchezaji muhimu kwa klabu yake hiyo katika msimu huu, akifunga magoli 10 katika mechi 42 alizocheza Uingereza.

Wakati huo huo timu ya Chelsea imeanza mazungumzo na Atletico Madrid ili kukamilisha kumnasa mshambuliaji Diego Costa kabla ya kuanza michuano ya Kombe la Dunia. 
                                         Diego Costa kushoto akishangilia bao lake

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni