.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 6 Mei 2014

MAREKANI KUSAIDIA KUWASAKA MABINTI WALIOTEKWA NIGERIA

Marekani imeelezea kuwa utekaji nyara wanafunzi wa kike zaidi ya 200 uliofanywa na kundi la Boko Haram kuwa ni suala la ukatili na imesema itasaidia katika kuwakomboa.

Msemaji wa Ikulu ya Marekani Jay Carney amesema Rais Barack Obama ameshapatiwa maelezo kuwa usalama wa taifa wa Marekani unafuatilia maendeleo ya tukio hilo la kikatili.

Wanafunzi hao wakike wapatao 250 walitekwa wakiwa shuleni Kaskazini mwa jimbo la Borno tangu Aprili 14.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni