Waziri Mkuu wa Thailand, Yingluck Shinawatra amefika katika mahakama ya Kikatiba mjini Bangkok kujitete dhidi ya mashitaka yanayomkabili ya matumizi mabaya ya madaraka.
Endapo akipatikana na hatia, Waziri Mkuu huyo anaweza kuondolewa madarakani na pia kukumbana na adhabu ya kufungiwa miaka mitano kujihusisha na siasa. Maamuzi ya kesi hiyo kutolewa jumatano.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni