.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 11 Mei 2014

NAONEKANA VIPI KWENYE VAZI JEUPE

Mwanadada anayetamba katika luninga na kipindi cha Keeping Up With The Kardashian's, Kim Kardashian akiwa amevaa vazi jeupe wakati akitoka kuangalia muonekano wa gauni lake la harusi hapo jana. Kim na mwanamuziki Kanye West wanatarajia kufunga ndoa jumamosi ya May 24'2014 jijini Paris nchini Ufaransa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni