Nyota wa Hollywood
wamegomea kutumia huduma za moja ya hoteli maarufu kutokana adhabu
kali za kislam zilizoidhinishwa na serikali ya Brunei.
Nyota hao wa Hollywood Jay
Leno na Ellen DeGeneres ni miongoni mwa watu maarufu wanaounga mkono
mgomo huo dhidi ya hoteli ya The Beverly Hills pamoja na hoteli
zingine zinazomilikiwa na Bruinei.
Baada ya mjadala mkubwa
baraza la halmashauri nchini Marekani limepiga kura ya kwa wingi
kuishutumu serikali ya Brunei.
Kiongozi wa Brunei, Sultan
Hassanal Bolkiah, ameidhinisha awamu ya kwanza ya adhabu hizo ikiwemo
ya kuwawa kwa kupigwa mawe kwa mashoga na wazinifu.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni